SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Thursday, February 21, 2013

MKUTANO MKUU WA CHAMA KUFANYIKA JUMAMOSI HII TAREHE 23/2

Wanachama wote mnakumbushwa kuwa, mnamo tarehe 23/02/2013 Jumamosi hii kutakuwa na mkutano mkuu wa chama utakaofanyika katika darasa la B4- MWANJONDE kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 6 Mchana. Tafadhali wanachama wote mnaombwa kufika bila kukosa, kikao hiki ni muhimu sana.

AGENDA KUU ZITAKUWA NI.

  • SHEREHE YA MIAKA MINNE YA SSPRA PAMOJA NA FORUM
  • SHEREHE YA MAAFALI YA TATU
  • UFANYIKAJI WA SEMINA AMBAZO HAZIKUFANYIKA

No comments:

Post a Comment