SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Thursday, April 11, 2013

CHAGUA DOVAKMWENE MSCHESHI KUWA RAIS WA SAUT


Onyesha uzalendo wako kwa vitendo kwa kujitokeza kesho tarehe 12/04/2013 siku ya Ijumaa kuanzia saa 2 Asubuhi fika bila kukosa ukiwa na kitambulisho chako cha chuo na umpigie kura ya NDIO mwanachama wetu wa SSPRA Mh. Dovakmwene Mscheshi anayewania nafasi ya urais katika serikali ya wanafunzi SAUTSO akiwa na makamu wake Mrosso Emiline


   "FOR TRANSPARENT AND EFFECTIVE LEADERSHIP"

No comments:

Post a Comment