SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Friday, October 26, 2012

MEETING FOR THIRD YEAR MEMBERS OF SSPRA

TO ALL THIRD YEAR SSPRA MEMBERS, WHO MISSED THE LAST MEETING,ARE KINDLY INFORMED THAT ON TOMORROW 27/10/2012 AT M13 LECTURE HALL ,FROM 12:00PM THEY ARE SUPPOSE TO ATTEND THE MEETING. PLEASE INFORM OTHER MEMBERS ONCE YOU GET THIS INFORMATION.


HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU

Taasisi mpya ya binafsi inayotoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imeanzishwa, kwa  wale ambao ndugu zao wamekosa mikopo kupitia taasisi ya serikali ya utoaji wa mikopo ya elimu ya juu HESLB wanaweza kuwashauri waombe huko. taasisi hiyo inaitwa HLSSF ( Higher Learning Students Supporting Fund) 
kwa maelezo zaidi tembelea tovuti hii hapa http://www.hlssf.org/
  Taasisi hii inatoa huduma zingine kama ifuatavyo
  1. Inatoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa ajili ya kuwasaidia kulipa karo,kununua chakula,kulipia gharama za malazi,kununua vitabu na kufanya utafiti pamoja na mafunzo kwa vitendo.
  2. Inawatafutia scholarship za kusoma ndani na nje ya nchi wanafunzi wote ambao wanasifa za ufaulu stahili kadiri ya masharti ya wafadhili.
  3. Inawatafutia kazi wahitimu wote wa vyuo vikuu.Hii inafanywa kwa kuwakutanisha wahitimu na waajiri kadiri ya fani zao.
  4. Inatoa fursa ya kuwasaidia wahitimu wa vyuo na vijana wengineo wanaotaka kujiajiri katika fani za kisomi zaidi.Hii itafanikiwa kwa kuanzishwa kwa HLSSF ENTREPRENEURSHIP CLUBS kwenye vyuo mbalimbali nchini ambapo wanafunzi wanachama wa HLSSF watakutanishwa pamoja na kuweza kuandaa michanganuo bora.Hii michanganuo itatafutiwa mitaji na HLSSF ili kikundi husika cha wanafunzi waweze kuanzisha na kuendesha rasmi biashara yao.
  5. Kufanya utafiti juu ya matatizo mbalimbali yanayoikumba sekta ya elimu nchini;pamoja na kutoa mapendekezo kwa serikali juu ya uboreshaji wa sera husika.
  6. Kuendesha workshops,events na mafunzo mbalimbali yanayolenga kuwapatia elimu pana zaidi wafanyabiashara na wanafunzi juu ya maswala ya ujasiriamali, uongozi wa biashara, upatikanaji na uboreshaji wa mitaji,risk management,changamoto za soko huria n.k
  7. Kutoa ushauri kwa wanafunzi wa sekondari na vyuoni juu ya namna ya kufanya uchaguzi sahihi wa michepuo ya kusoma pamoja na kozi muafaka za kusoma kulingana na changamoto za ajira za sasa.
  8. Kutoa msaada wa kufanya maombi ya vyuo kwa njia ya mtandao(TCU ONLINE APPLICATIONS) pamoja na kufanya maombi ya mkopo wa BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB) kwa njia ya mtandao (HESLB LOANS ONLINE APPLICATIONS).

DEBATE FORUM THIS SUNDAY

TO ALL SSPRA MEMBERS AND OTHER PUBLIC RELATIONS STUDENTS FIRST YEAR UP TO THIRD YEAR, YOU ARE KINDLY INVITED TO ATTEND A DEBATE FORUM THAT WILL BE ON SUNDAY, 28/10/2012  FROM 3:30 PM, THE TOPIC OF DISCUSSION WILL BE "PUBLIC RELATIONS IS ALL ABOUT MEDIA RELATIONS"
SO GET WELL PREPARED FOR STRONG POINTS AND LOGICAL ARGUMENTS,YOU ARE ALL WELCOME, DON'T MISS THIS CHANCE.

Friday, October 12, 2012

KIKAO KIKAO CHA SSPRA

WANACHAMA WOTE WA SSPRA MNAKUMBUSHWA KUWA TAREHE 13/10/2012 JUMAMOSI KATIKA JENGO LA MWANJONDE DARASA LA B2, KUTAKUWA NA KIKAO CHA WANACHAMA WOTE WA SSPRA KUANZIA SAA 4:00 ASUBUHI MPAKA SAA 7 MCHANA. TAFADHALI FIKA BILA KUKOSA PIA MKUMBUSHE NA MWANACHAMA MWENZIO MARA UPATAPO TAARIFA HII.