SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Saturday, November 17, 2012

TO NEW SSPRA MEMBERS OF TABORA BRANCH

Awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanachama wapya wa SSPRA kutoka tawi la Tabora. Maamuzi mliyochukua ya kujiunga na SSPRA ni sahihi kabisa, Kwa moyo mkunjufu tunawakaribisha sana katika familia kubwa ya kitaaluma yenye mafanikio kila kukicha na mikakati yake ikizidi kufanikiwa kwa ujumla.

Pokeeni salamu nyingi kutoka kwa wanachama wa Mwanza, tunajipanga kuja kuwatembelea katika tawi letu  hilo jipya baada ya kuweka mambo sawa hapa chuoni SAUT-MWANZA.


Kuanzia jumatatu tarehe 19/11/2012 wale wote ambao hawajajiunga mwoneni CR wenu wa PR bwana VIRGIL MBULIGWE atakuwa na Form za kujiunga zitakazokuwa zikipatikana kwa TSH 5000 kwa ajili ya kujiunga,pia kwa wale watakao kuwa wakihitaji  Tshirt za SSPRA zitapatikana kwa Tsh. 15,000 tu.


MWENYEKITI WA SSPRA

NGONYANI CHRISTOPHER

No comments:

Post a Comment