SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Saturday, December 15, 2012

SSPRA WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA STAREHE, JIJINI MWANZA


Wanachama wa SSPRA leo tarehe 15/12/2012 wametembelea na kutoa misaada ya chakula na malazi kwa ajili ya kuwasaidia watoto walioko kituo cha STAREHE CHILDREN'S HOME kilichopo eneo la Nyegezi jijini Mwanza, wanachama wa SSPRA wametoa msaada huo kwa watoto yatima katika kuelekea sherehe za mwisho wa mwaka  X-MASS na mwaka mpya ikiwa ni mojawapo ya majukumu ya kuisaidia jamii inayotuzunguka (CORPORATE SOCIAL RESPONSIBILITY).

Kituo hiki kinahudumia watoto yatima,waliotelekezwa kuanzia umri wa miaka 0-5, watoto hawa huletwa kituoni hapo kutoka Ustawi wa jamii na sio kwamba wao ndio huwatafuta watoto hao. BW.GETSON EZEKIEL ambaye ni Daktari wa watoto hao walioko kituoni hapo.

Baadhi ya watoto walioko kituoni hapo wakipokea msaada kutoka SSPRA


Joseph Michael akimkabidhi Dr. Ezekiel  kadi ya X-MASS na Mwaka Mpya.


Watoto waliopo kituoni hapo wa


Muddy akikabidhi naye zawadi yake kwa mtoto



wanachama wakifika kituoni hapo muda wa asubuhi.



wanachama wakifanya usafi.........

Aman Mbwaga akifanya naye usafiiiiii



wanachama wakiwa katika mkutano wa pamoja na viongozi wa kituo

Kutoka kushoto ni mwenyeketi wa SSPRA Bw.Ngonyani Christopher, Dr Getson Ezekiel,na Afsa Ustawi wa jamii kituoni hapo.


Waachama wakibadilishana mawazo

PR 3 Members wa SSPRA



No comments:

Post a Comment