SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Sunday, November 25, 2012

MAONESHO COMMUNITY DAY YAPAMBA JIJI LA MUNGU

Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (SAUT) mwanza kiliazimisha sikukuu ya jamii maarufu kama ''Comunuty day"ambapo idara mbalimbali katika chuo hicho zilifanya maonesho mbalimbali juu ya shughuli zinazo fanyika katika idara hizo.

katika maadhimisho hayo mgeni rasmi Makamu Mkuu wa chuo Padre Dk.Charles Kitima alifungua maonesho hayo na kukagua mabanda mbalimbali ya idara zinazo patikana chuoni hapo.aidha maonesho hayo yalihusisha pia wajasiriamali na makampuni mbalimbali yanyo fanya kazi zake jijini mwanza. Maadhimisho haya yaliandaliwa na Idara ya Mahusiano ya jamii na Matangazo na kuratibiwa na chama cha wanafunzi wanaosoma mahusiano ya jamii na masoko (SSPRA).
Katibu msaidizi wa SSPRA bwana Athanas akimkaribisha Makamu Mkuu wa Chuo Padre Dk. Charles Kitima katika banda la SSPRA.

Makamu mkuu wa chuo na Waandamizi wake akipata maelezo juu ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na Idara ya mahusiano ya jamii na Matangazo.



Makamu mkuu wa chuo cha mtakatifu Agustino akiwahutubia wana jumuiya wa SAUT (hawapo pichani) katika maadhimisho ya Community day




Wanafunzi wanaosoma mahusiano ya jamii na Masoko wakipata maelekezo kutoka kwa mwalimu wao Frank Katabi.

Wanajamii wa SAUT na viunga vyake wakisikiliza hotuba ya mgeni rasimi (hayupo pichani) katika maadhimisho ya community day

Maelezo ya kusisitiza haya kukosekana!!

No comments:

Post a Comment