SSPRA

JOIN SSPRA TO ACQUIRE PUBLIC RELATIONS SKILLS

Saturday, June 22, 2013

TANGAZO KWA WANACHAMA WOTE WA SSPRA

Wale wote ambao wanapenda kushiriki katika safari yetu ya kimasomo Nairobi_Kenya katika mwaka wa masomo ujao(Mwezi wa tisa),Mnakumbushwa Kuchukua Fomu za kukusaidia wewe Mwanachama wa Sspra Kuchangisha Fedha ya michango kwa ajili ya kufanikisha safari hiyo. 
      Fomu zimeanza kutolewa leo 20/06/2013 Mpaka 2/07/2013.
    
FOMU ZINAPATIKANA KWA_:
    KATIBU MKUU WA SSPRA (+2557650558711/+255714197141
                                            Email;prof.mbwaga@gmail.com
  
MWENYEKITI WA SSPRA,(+255755154215
                                   
    WAHI MAPEMA FOMU NI CHACHE!

No comments:

Post a Comment